🔔Habari, Udaku na Umbea wa Bongo nzima katika APP Moja!
Like Our Facebook Page Download App (Google Play)Image by Bongo5
Thursday 27-09-2018 09:00:02pm Bongo5
Kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kimepinduka na kuzama kichwa chini, kimeinuliwa nakuwa wima kama kilivyokuwa hapo awali kabla ya ajali. Zoezi hilo la kukinasua kivuko hicho kilichonasa katika Ziwa Victoria Septemba 20,2018 limekuwa na mafanikio makubwa baada ya vikosi vya uokoaji kufanikiwa kukinyanyua na kuonyesha taswira halisi ya kivuko hicho. MV Nyerere ambayo imepata ajali juma …The post Kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kimepinduka na kuzama chainuliwa appeared first on Bongo5.com. Continue reading.
Disclaimer: This blog post is written by Bongo5. Evance Jay E is not the original author of this post.
For any concern please contact me by phone: +255712730419, email me@evancejaye.com or follow me on instagram @evancejaye, twitter @evancejaye or facebook @evancejaye. Enjoy and share this post.
Monday 09-09-2019 12:00:02pm Bongo5
Monday 09-09-2019 12:00:02pm Bongo5
Monday 09-09-2019 10:00:06am Bongo5
Copyright @ Bongo Trends 2024 Powered by Evance Jay E