🔔Habari, Udaku na Umbea wa Bongo nzima katika APP Moja!
Like Our Facebook Page Download App (Google Play)Image by Bongo5
Friday 20-07-2018 09:00:02pm Bongo5
Nyota wa klabu ya Liverpool, Mohamed Salah na Sadio Mane wamerejea hii leo siku ya Ijumaa huko Melwood tayari kwaajili ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu nchini Uingereza. Mane raia wa Senegal amekabidhiwa jezi na 10 ambayo alikuwa akiiva Mbrazil, Philippe Coutinho aliyetimkia FC Barcelona na kuachana namba 19 aliyokuwa akiitumia toka alipotoka Southampton mwaka …The post Sadio Mane akabidhiwa namba ya Coutinho, Salah aonyesha uwezo kwenye kikapu appeared first on Bongo5.com. Continue reading.
Disclaimer: This blog post is written by Bongo5. Evance Jay E is not the original author of this post.
For any concern please contact me by phone: +255712730419, email me@evancejaye.com or follow me on instagram @evancejaye, twitter @evancejaye or facebook @evancejaye. Enjoy and share this post.
Monday 09-09-2019 12:00:02pm Bongo5
Monday 09-09-2019 12:00:02pm Bongo5
Monday 09-09-2019 10:00:06am Bongo5
Copyright @ Bongo Trends 2024 Powered by Evance Jay E