🔔Habari, Udaku na Umbea wa Bongo nzima katika APP Moja!
Like Our Facebook Page Download App (Google Play)Image by Bongo5
Monday 17-12-2018 09:00:02pm Bongo5
Muigizaji Muna Love amezindua taasisi ya ‘The Patrick Foundation’ yenye lengo la kusaidia watoto wenye matatizo mbalimbali hapa Tanzania. Akiongea kwenye uzinduzi huo, Muna amesema amesukumwa zaidi kuwasaidia watoto na wazo hilo amelipata baada ya kifo cha mtoto wake mpendwa Patrick, ambaye jina lake ndilo lililotumika kwenye taasisi hiyo.The post Muna Love azindua Foundation kumuenzi mtoto wake Patrick (+video) appeared first on Bongo5.com. Continue reading.
Disclaimer: This blog post is written by Bongo5. Evance Jay E is not the original author of this post.
For any concern please contact me by phone: +255712730419, email me@evancejaye.com or follow me on instagram @evancejaye, twitter @evancejaye or facebook @evancejaye. Enjoy and share this post.
Monday 09-09-2019 12:00:02pm Bongo5
Monday 09-09-2019 12:00:02pm Bongo5
Monday 09-09-2019 10:00:06am Bongo5
Copyright @ Bongo Trends 2024 Powered by Evance Jay E