🔔Habari, Udaku na Umbea wa Bongo nzima katika APP Moja!
Like Our Facebook Page Download App (Google Play)Image by Bongo5
Monday 24-09-2018 09:00:02pm Bongo5
Mwansiasa mkuu nchini Kenya leo amefikishwa mahakamani katika mji mkuu Nairobi kwa mashtaka ya kusaidia na kupanga mauaji. Gavana wa jimbo la Migori nchini Kenya Okoth Obado amesomewa mashtaka katika kesi ya mauji ya mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu , Sharon Atieno. Obado amekana mashtaka na mahakama imeamuru arudishwe rumande mpaka kesho Jumanne ambapo ombi …The post Mwanasiasa huyu mkubwa nchini Kenya afikishwa mahakamani kwa kesi ya mauaji ya Mwanafunzi appeared first on Bongo5.com. Continue reading.
Disclaimer: This blog post is written by Bongo5. Evance Jay E is not the original author of this post.
For any concern please contact me by phone: +255712730419, email me@evancejaye.com or follow me on instagram @evancejaye, twitter @evancejaye or facebook @evancejaye. Enjoy and share this post.
Monday 09-09-2019 12:00:02pm Bongo5
Monday 09-09-2019 12:00:02pm Bongo5
Monday 09-09-2019 10:00:06am Bongo5
Copyright @ Bongo Trends 2024 Powered by Evance Jay E